Moyo Wangu Wamtukuza
MarianThanksgiving
Chorus
Moyo wangu wamtukuza Bwana, Rohonyangu inafurahi x2
Verse 2
Kwa kuwa amemwangalia
Kwa huruma mtumishi wake
Hivyo tangu sasa watu wote
Wataniita mwenye heri
Verse 3
Kwa sababu mwenyezi Mungu
Amenifanyia makuu
Jina lake ni takatifu
Verse 4
Huruma yake ni kwa wote
Wote wale wanaomcha
Kizazi hata na kizazi
Verse 5
Huyatenda mambo makuu
Kwa nguvu za mkono wake
Wenye kiburi hutawany
Verse 6
Hushusha wote wenye vyeo,nkutoka vitini vya enzi,
Nao wote wanyenyekevu,nwote hao huwainua
Verse 7
Huwashibisha wenye njaa,nna matajiri huwaacha,
Waende mikono mitupu.
Verse 8
Hulilinda taifa lake, teulenna mtumishi wake,
Kikumbuka huruma yake
Verse 9
Kama alivyo waahidia,nbabu zetu kawahidia,
Ibrahim na uzao wake.
Verse 10
Atukuzwe Baba na Mwana,nnaye Roho Mtakatifu,
Leo, kesho hata milele,nkwa shangwe milele amina.