SectionsThanksgivingMoyo Wangu Wamtukuza

Moyo Wangu Wamtukuza

MarianThanksgiving
Chorus

Moyo wangu wamtukuza Bwana, Rohonyangu inafurahi x2

Verse 2

Kwa kuwa amemwangalia

Kwa huruma mtumishi wake

Hivyo tangu sasa watu wote

Wataniita mwenye heri

Verse 3

Kwa sababu mwenyezi Mungu

Amenifanyia makuu

Jina lake ni takatifu

Verse 4

Huruma yake ni kwa wote

Wote wale wanaomcha

Kizazi hata na kizazi

Verse 5

Huyatenda mambo makuu

Kwa nguvu za mkono wake

Wenye kiburi hutawany

Verse 6

Hushusha wote wenye vyeo,nkutoka vitini vya enzi,

Nao wote wanyenyekevu,nwote hao huwainua

Verse 7

Huwashibisha wenye njaa,nna matajiri huwaacha,

Waende mikono mitupu.

Verse 8

Hulilinda taifa lake, teulenna mtumishi wake,

Kikumbuka huruma yake

Verse 9

Kama alivyo waahidia,nbabu zetu kawahidia,

Ibrahim na uzao wake.

Verse 10

Atukuzwe Baba na Mwana,nnaye Roho Mtakatifu,

Leo, kesho hata milele,nkwa shangwe milele amina.