SectionsEucharistMoyo Wangu Unakutamani

Moyo Wangu Unakutamani

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Moyo wangu unakutamani,

Moyo wangu unakutamani Mungu wangu } *2n{ Kwa sauti nzuri mimi nikuimbie ee Mungu wangu,

Nitangaze sifa zako milele na hata milele } *2

Verse 2

Nikuambie nini Bwana, ujue ninakupenda

Moyo wangu umekuambia uso wako nitautafuta

Usinifiche uso wako ee Mungu Muumba wangu

Verse 3

Umenitendea mambo mengi, makubwa ya kushangaza

Sasa mimi nitazitangaza fadhili zako Bwana wangu

Asubuhi hata usiku ee Mungu nitakusifu

Verse 4

Nibariki ee Mungu wangu, siku zote za maisha yangu

Nikusifu wewe daima nitangaze uwezo wako

Usiwe mbali Mungu wangu naomba usiniache.