SectionsEntranceMlipuko Wa Sifa

Mlipuko Wa Sifa

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

[ s ] Zikumbukeni njia alizowapitishan[ w ] Amewapenda amewang`ang`ania ninyi

Hajaufumba ukope wake hata mara moja

Amewapenda amewang`ang`ania ninyi

Hajazifumbua mbawa zake msilowe mvua

Amewapenda amewang`ang`ania ah

Chorus

Lipua pu! pu! pu pu pu! puu!

Lipua sifa - sifa kwa Mungu Baba lipua

Lipua shangwe- sifa kwa Mungu Baba lipua

Lipua tena - sifa kwa Mungu Baba lipua aan(amsheni hisia, lipua sifa, inueni mioyo lipua sifa)

Lipua lipua lipua aa lipua lipua, lipua puu

Verse 3

Kumbuka mlivyokuwa na hali duni kule mwanzo,

Ni yeye Mungu aliyewabeba

Mlipopotea njia akawakamata mkono . . .

Ni yeye Mungu aliyewabeba

Akawaongoza mpaka kufika mlipo leo . . .

Ni yeye Mungu aliyewabeba

Verse 4

[ b ] Kusanyikeni wote kwa miluzi na nyimbo tumtukuze,

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu

Cheza kidogo wote inueni mikono shangilieni.

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu

Rusha miguu yenu kwa midundo mitamu tumtukuze . . .

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu

Verse 5

[ b ] Kusanyikeni wote kwa miluzi na nyimbo tumtukuze,

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu

Cheza kidogo wote inueni mikono shangilieni.

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu

Rusha miguu yenu kwa midundo mitamu tumtukuze . . .

Paza sauti zenu piga kelele kumsifu