Chorus
{ Mkono wako wa kuume amesimama Malkia
Amevaa dhahabu ya ofiri } * 2
Verse 2
Binti za wafalme wamo mikononi mwa kina bibi wastahi
Mkono wako wa kuume amesimama Malkia
Amevaa dhahabu ya ofiri *2
Verse 3
Sikiliza binti utazame na utege sikio lako
Usahau watu wako na nyumba ya Baba yako
Na yeye mfalme atakutamani *2
Verse 4
Atapelekwa kwa mfalme na mavazi yaliyofumwa vizuri
Wanawali wenzi wake wanaomfuata kwa mfalme
Wataelekwa kwake wakamuone
Yumo ndani ana fahari tupu