SectionsEntranceMkizipenda Sheria Zangu

Mkizipenda Sheria Zangu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

{ Mkizipenda sheria zangu

Nitawaombea kwa Baba yangun(na yeye) atamtuma Roho wa kwelin(ndiye) atakaye wafariji mioyo } *2

Verse 2

Nyumbani mwa Baba kuna mengi,

Kwa kweli atawapa makao *2

Verse 3

Sitawaacha kama yatima,

Nitamtuma Roho wa kweli *2

Verse 4

Kwa kweli mkinipenda mimi, na

Baba yangu atawapenda *2