Chorus
Mke wako atakuwa kama mti wa mzabibu,n(wenye kuzaa matunda ndani ya nyumbanyako) x2
Verse 2
Mke wako atakuwa kama mzabibu, wenyenkuzaa matunda ndani ya nyumba yako.n
Bwana atawabariki kutoka sayuni,nwamtukuze Mungu Baba daima na milele.n
Familia yenu iwe familia bora,nyenye kumcha Mungu daima na milele.