Mkate Na Divai
Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Mkate na divai twakutolea,
Pokea Bwana pokea
Chorus
Vipaji vyetu uvitakase
Viwe sadaka vikupendeze
Pokea Bwana pokean
Verse 3
Hivi ni vipaji ulivyotupa -
Nasi twavirudisha kwa upendo -
Verse 4
Twajitolea na sisi wenyewe -
Hata na ndugu zetu tunakupa -
Verse 5
Hizi ni zawadi twakutolea -
Zikufikie wewe huko uliko -
Verse 6
Mwisho zitusaidie na sisi -
Zikushuhudie zijapo kwako -