Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Ee Bwana (Bwana Mungu) utuhurumie (ee Bwana)nee Bwana Mungu (tuhurumie) utuhurumie (ee Bwana ee Mungu Mungu utuhurumie
Ee Yesu (Kristu) utuhurumie
Ee Yesu Kristu utuhurumie
Gloria
Glory to God
Utukufu (juu) kwa Mungu Mbinguni
Na amani iwe kote duniani (tunakuabudu)
Tunakusifu Bwana twakuheshimu Bwana tunakuabudu
Twakutukuza Bwana twakuheshimu Bwana
Ewe Bwana Mungu Baba mfalme wa Mbinguni
Tunakushukuru kwa utukufu mkuu, Mungu Baba Mwenyezi
Ewe Bwana Yesu Kristu Mwana wa pekee
Mwana kondoo Mungu uondoaye dhambi, utuhurumi-e
Uondoaye dhambi zetu utusikie,
Ewe uketiye kuume kwa Mungu Baba, utuhurumi-e
U pekee Bwana Mtakatifu na u Kristu
Pamoja naye Roho katika utukufu, wake Mungu milele
Aleluya
Alleluia
Aleluya (aleluya) aleluya (aleluya) aleluya aleluya
Tunakusifu Bwana twakuheshimu Bwana tunakuabudu
Twakutukuza Bwana twakuheshimu Bwana
Ewe Bwana Mungu Baba mfalme wa Mbinguni
Tunakushukuru kwa utukufu mkuu, Mungu Baba Mwenyezi
Ewe Bwana Yesu Kristu Mwana wa pekee
Mwana kondoo Mungu uondoaye dhambi, utuhurumi-e
Uondoaye dhambi zetu utusikie,
Ewe uketiye kuume kwa Mungu Baba, utuhurumi-e
U pekee Bwana Mtakatifu na u Kristu
Pamoja naye Roho katika utukufu, wake Mungu milele
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu (Bwana Mungu) Mtakatifu (wa Majeshi) *2
Mbingu na dunia zimejaa zimejaa
Zimejaa utukufu wako Bwana
{Hosanna juu Mbinguni Hosanna Mbinguni juu Hosanna juu } *2
Amebarikiwa amebarikiwa yeye
Yeye ajaye kwa jina lake Bwana
Amen
Great Amen
Amina (amina) amina (amina) amina amina
{Hosanna juu Mbinguni Hosanna Mbinguni juu Hosanna juu } *2
Amebarikiwa amebarikiwa yeye
Yeye ajaye kwa jina lake Bwana
Lamb of God
Agnus Dei
Ee Mwana Kondoo wa Mungu,
Unayeziondoa dhambi za dunia (dhambi zote za dunia)
Tuhurumie (tuhurumie) utuhurumie
Ee Mwana Kondoo wa Mungu,
Unayeziondoa dhambi za dunia (dhambi zote za dunia)
Tuhurumie (tuhurumie) utuhurumie
Ee Mwana Kondoo wa Mungu,
Unayeziondoa dhambi za dunia (dhambi zote za dunia)
Tupe amani (tupe amani) utupe amani