Misa ya Mt.Anna

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

{ Bwana Bwana, Bwana utuhurumie,

Bwana utuhurumie utuhurumien(Bwana) utuhurumie, tuhurumie Bwana } *2

Kristu Kristu utuhurumie *2n{ Ewe Kristu, ewe Kristu, ewe Kristu *2

Utuhurumie (Kristu) utuhurumie, Kristu tuhurumie } *2

Kristu utuhurumie, Kristu utuhurumie *2

Utuhurumie Kristu utuhurumie

Bwana utuhurumie . . .

Gloria

Glory to God

Utukufu, kwa Mungu Mbinguni,

Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema

Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza

Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)

Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbingunin(Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,

Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee

Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu

Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba

Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie

Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunian(pokea) pokea ombi letun(ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba

Utuhurumie (Bwana) utuhurumie

Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifun(Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuun(Yesu) Yesu Kristu,

Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba

Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba

Katika utukufu wa Mungu Baban(katika) Utukufu wa Mungu amina amina

Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

{Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu

Bwana Mungu wa majeshi

Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi *2 } *2

Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako

Zimejaa utukufu wako

{ Hosana juu, hosanna juu, hosanna juu,nhosanna hosanna juu mbinguni *2

Mbarikiwa yeye ajaye, ajaye kwa jina la Bwana

Kwa jina la Bwana

Yeye ajaye kwa jina la Bwana anayekuja kwa jina la Bwana

Lamb of God

Agnus Dei

{ Mwanakondoo wa Mungu,nuondoaye dhambi za dunia utuhurumie } *2

Mwanakondoo wa Mungu uondoayen{ Mwanakondoo wa Mungu,nuondoaye dhambi za dunia utuhurumie } *2

Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia

Mwanakondoo wa Mungu unayeondoa dhambi

Utujalie utujhalie utujalie utujalie

Utujalie Bwana utujalie amani