Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana Bwana utuhurumie,
Ee eh Bwana utuhurumie
Ee Bwana, (ee Bwana)nee Bwana (ee Bwana)
Ee Bwana Bwana utuhurumie Bwana *2
/b/ Ee Bwana Bwana, ee Bwana Bwana
Ee Bwana Bwana utuhurumie Bwana
/s/ Kristu u Kristu utuhurumie , Kri-stu utuhurumien/a/ Kristu Kristu utuhurumie. ee kri-stu utuhurumien/t/ (Ee Kristu, ee Kristu Kristu
Eee Kristu kri-stu utuhurumien/b/ Ewe Kristu Kristu u Kristu Kristu
Kri - stu (Kristu) utuhurumie
Bwana Bwana utuhurumie . . .
Gloria
Glory to God
{ Utukufu kwa Mungu juu, utukufu
Na amani duniani
Kwa watu wote wenye mapenzi (mema)
Kwa watu wote wenye mapenzi
Mapenzi mema (utukufu) } *2
Tunakusifu tunakuheshimu, twakuabudu tunakutukuza
Tunakushukuru Mungu kwa ajili, ya utukufu wako mkuu
Ee Bwana Mungu, Mfalme wa Mbinguni
Mu-ngu Baba, Mungu mwenye enzi,
Bwana Yesu Kristu, Mwana wa pekee,
Ee Bwana Mungu, ee Bwana Mungu
Mwanakondoo mwana wake Baba, uondoaye dhambi za dunia
Utuhurumie utuhurumie, pokea ombi letu ee Baba
Mwenye kuketi kuume kwa Baba,
Tuhurumie utuhurumie
Kwa kuwa kwa kuwa, ndiwe peke yako,
Mtakatifu mtakatifu
Pekee Bwana mkuu Yesu Kristu, pamoja naye Roho Mtakatifu
Katika katika utukufu wake, Mu-ngu Baba a-mina.
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu mtakatifu Bwana
Mungu wa majeshi Mungu wa majeshi
Mbingu na dunia zimejaa, utukufu wako
Hosanna (hosanna) hosanna (hosanna)
Juu mbinguni
Mbarikiwa yeye anayekuja kwa jina la Bwana