Lamb of God
Agnus Dei
Ee mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu utuhurumie *2n
Ee mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu, utujalie amanin
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni na
Amani iwe kwao wnye mapenzi meman
Tunakusifu tunakuheshimu
Twakuabudu na kukutukuzan
Twakushukuru mwenye utukufu, mfalme
Wa mbingu, Mungu Baba yetun
Ee Bwana Yesu mwana wa pekee, uliye
Mwana kondoo wa Mungun
Mwenye kufuta dhambi za dunia
Utuhurumie, utusikilizen
Pamoja na Roho Mtakatifu,n katika utukufu wake Baaban
Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana, ee Bwana, Bwana ee Bwana
Bwana, ee Bwana, Bwana utuhurumien
Kristu, ee Kristu kristu, ‘tuhurumie
Kristu, ee Kristu, ‘tuhurumie
Tunakuomba kristu, ‘tuhurumien
Bwana, ee Bwana, Bwana ee Bwana
Bwana, ee Bwana, Bwana utuhurumie
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu Bwana, Mtakatifu Bwana
Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi, wa majeshin
Mbingu na dunia zimejaa, zimejaa utukufu wako
Hosanna *6 hosana juu mbinguni
Mbarikiwa yeye yule mwenye kuja
Kwa jina lake Bwanan