Lamb of God
Agnus Dei
Mwana Mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye Uondoaye
Dhambi za ulimwengu - Dhambi za ulimwengu
Utuhurumie utuhurumie *2
Mwana Mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye Uondoaye
Dhambi za ulimwengu - Dhambi za ulimwengu
Utujalie amani Utujalie amani
Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana Bwana Utuhurumie -
Bwana, Bwana Utuhurumie
Ee Bwana, ee
Ee Bwana, ee
Ee Bwana, utuhurumie
Kristu, Kristu utuhurumie -
Kristu, Kristu utuhurumie
Ee Kristu ee
Ee Kristu ee
Ee Kristu Utuhurumie
Bwana Bwana Utuhurumie -
Bwana, Bwana Utuhurumie
Ee Bwana, ee
Ee Bwana, ee
Ee Bwana, utuhurumie
Gloria
Glory to God
‘Tukufu, ‘Tukukufu kwa Mungu Juu.
Amani! Na amani duniani
Kwa watu wenye mapenzi - wenyenmapenzi mema *2
A-ma-ni!
Sifa, Sisi tunakusifu
Heshima! Sisi tunakuheshimu
Tunakuabudu - Sisi tunakuabudu. *2
He-shi-ma!
‘Tukufu, Sisi tunakutukuza
Shukrani Sisi tunakushukuru
Kwa ‘jili ya utukufu -
Utukufu wako mkuu *2
Shu-kra-ni!
Ee Mungu, Ee Bwana Mungu
Ee Baba Mfalme wa mbinguni.
Ee Mungu Baba - Mungu Baba
Mwenyezi *2
Ee Ba-ba!
Ee Bwana, Ee Bwana Yesu Kristu
Ee Mwana Kristu Mwana wa pekee
Mwana wa Baba - Mwanakondoo wa
Mungu *2
Ee Mwa-na!
Mwokozi Mwenye kuondoa dhambi.
Huruma! Dhambi za dunia
Utuhurumie - Pokea ombi letu *2
Hu-ru-ma!
Ee Yesu Kwani ndiwe Mtakatifu
Ee Kristu Kwani ndiwe Bwana.
Ee Yesu Kristu - Ndiwe peke yako Mkuu! *2
Ee Kri-stu!
Umoja, Pamoja na Roho Mtakatifu.
Milele! Katika utukufu,n‘Tukufu wa Mungu Baba - Kristu anaishi *3
Mi-le-le
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu Bwana Mungu wetu -
Ee Hosana juu!
Mtakatifu Bwana Mungu wetu -
Ee Hosana juu!
Mtakatifu Bwana Mungu wetu -
Ee Hosana juu!
Mbinguni - Mbinguni
Utukuzwe Bwana Mungu - Ee!
Mungu Muumba wetu - Ee!
Mbingu na dunia zimejaa - Ee! Ee! Ee!
Utukufu wako - Ee!
Ee, Ee, mbinguni - Ee,Hosana juunmbinguni
Utukuzwe Bwana Mungu - Ee!
Mungu Mkombozi wetu - Ee!
Uliangamiza mauti ukaleta - Ee! Ee! Ee!
Uzima mpya - Ee!
Ee, Ee, mbinguni - Ee, Hosana juu mbinguni
Utukuzwe Bwana Mungu - Ee!
Mungu mfariji wetu - Ee!
Ulimtuma Roho kwetu tuwe - Ee! Ee! Ee!
Sote mwili mmoja - Ee!
Ee, Ee, mbinguni - Ee, Hosana juu mbinguni