SectionsEucharistMisa Taita (Utukufu)

Misa Taita (Utukufu)

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

‘Tukufu! ‘Tukukufu kwa Mungu Juu.

Amani! Na amani duniani

Kwa watu wenye mapenzi - wenyenmapenzi mema x2

A-ma-ni!

Verse 2

Sifa! Sisi tunakusifu

Heshima! Sisi tunakuheshimu

Tunakuabudu - Sisi tunakuabudu. x2

He-shi-ma!

Verse 3

‘Tukufu! Sisi tunakutukuza

Shukrani Sisi tunakushukuru

Kwa ‘jili ya utukufu -

Utukufu wako mkuu x2

Shu-kra-ni!n

Verse 4

Ee Mungu! Ee Bwana Mungu

Ee Baba Mfalme wa mbinguni.

Ee Mungu Baba - Mungu Baba

Mwenyezi x2

Ee Ba-ba!

Verse 5

Ee Bwana! Ee Bwana Yesu Kristu

Ee Mwana Kristu Mwana wa pekee

Mwana wa Baba - Mwanakondoo wa

Mungu x2

Ee Mwa-na!n

Verse 6

Mwokozi Mwenye kuondoa dhambi.

Huruma! Dhambi za dunia

Utuhurumie - Pokea ombi letu x2

Hu-ru-ma!

Verse 7

Ee Yesu Kwani ndiwe Mtakatifu

Ee Kristu Kwani ndiwe Bwana.

Ee Yesu Kristu - Ndiwe peke yako Mkuu! x2

Ee Kri-stu!

Verse 8

Umoja! Pamoja na Roho Mtakatifu.

Milele! Katika utukufu,n‘Tukufu wa Mungu Baba - Kristu anaishi x3

Mi-le-le