Verse 1
Nasadiki kwa Mungu mmoja x2
Mwumba mbingu na dunia x2
Na kwa Bwana Yesu Kristu
Mwana wake wa pekee
Nasadiki kwa Mungu Baba -
Nasadiki nasadiki Mungu aliyetuumbannasadiki nasadiki
Na kwa mwana mkombozi -
Na kwa roho wa uzima -
Verse 2
Alitungwa kwa uwezo wake x2
Roho mtakatifu x2
Kazaliwa na Maria
Yule mama na bikira n
Verse 3
Akateswa kwa Pilato ndipo x2
Akasulibiwa x2
Kafa tena akazikwa
Akashuka kuzimu
Verse 4
Siku ya tatu kafufuka, akapaa x2
Hata mbinguni x2
Amekaa kuume kwa Mungu
Baba aliye Mwenyezi
Atakuja kuhukumu wazima pia x2
Na wafu x2
Na ufalme utakuwanfalme wake wa milele
Verse 5
Nasadiki kwa kanisa takatifu x2
Takatifu Katoliki Katoliki
Shirika la watakatifu
Maondoleo ya dhambi zetu
Verse 6
Nangojea ufufuko wa miili x2
Toka kwa wafu x2
Na uzima wa milele
Yote hayo nasadiki