Misa Subukia

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Bwana, Bwana, Bwana utuhurumie *2

Kristu utuhurumie, Kristu utuhurumie *2

Bwana, Bwana, Bwana utuhurumie *2

Gloria

Glory to God

Chorus

utukufu juu kwa Mungu, na amaninduniani, kwao watu wenye mapenzi nwatu wenye mapenzi mema

Tunakusifu tunakuheshimu

Twakuabudu tunakutukuza

Twakushukuru kwa ajili yakonya utukufu wako mkuu

Ee Mungu baba ndiwe mfalme wa Mbinguninbaba mwenyezi

Ee Yesu Kristu mwana wa pekee

Mwana kondoo mwana wa Baba

Uondoaye dhambi za watu,ntuhurumie utusikilize

Tuhurumie mwenye rehema nmaombi yetu uyapokee

Uketiye kuume kwake

Mungu Baba tuhurumie

Kwa kuwa ndiwe pekee yako

Pekee yako Mtakatifu

Pamoja naye Roho mtakatifu

Katika utukufu wake

Anayeishi na kutawala

Milele yote amina

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu

Mungu wa majeshi

Mbingu na dunia nzimejaa utukufu wakon

Chorus

Hosanna *3 hosanna juu mbinguni

Mbarikiwa anayekuja anayekuja nkwa jina la bwana

Lamb of God

Agnus Dei

Mwana Kondoo wa Mungunuondoaye dhambi za ulimwengu utuhurumie *2

Mwana Kondoo wa Mungunuondoaye dhambi za ulimwengunutujalie amani