Misa Shukrani

4 sections

Gloria

Glory to God

Utukufu kwa Mungu mbinguni

Na amani duniani kote

Kwao wenye mapenzi meman

Chorus

Tunakusifu tunakuheshimu

Twakuabudu na tunakutukuzan

Twakushukuru mwenye utukufu

Mfalme wa mbingu, Mungu Baba yetun

Ee Bwana Yesu mwana wa pekee

Mwana kondoo wake Mungu Baban

Mwenye kufuta dhambi za dunia

Tuhurumie, utusikilizen

Unayeketi kuume kwa Baba, u peke yako

Mkuu Yesu Kristun

Pamoja naye Roho Mtakatifu kwa

Utukufu wake Mungu Baban

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Tunakuomba ewe bwana utuhurumie sisi

Wakosefu utuhurumien

Tunakuomba ewe kristu utuhurumie

Dhambi tunatubu tuhurumien

Tunakuomba ewe bwana utuhurumie sisi

Wakosefu utuhurumien

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu mtakatifu mtakatifu ewe Bwana n(Bwana wetu Mungu wa majeshi)

Mbingu na dunia zimejaa utukufu n(kweli zimejaa wako utukufu)n

Amebarikiwa yule mwenye kuja kwetu

Yule mwenye kuja kwa jina la Bwanan

Chorus

Hosanna *3 hosana juu mbinguni.

Lamb of God

Agnus Dei

Mwana kondoo wa Mungu, uondoaye

Dhambi za ulimwengu, tuhurumie *2n

Mwana kondoo wa Mungu, uondoaye

Dhambi za ulimwengu, utujalie amanin