Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana utuhurumie Bwana Ee Bwana
Bwana ee ee ee Bwana utuhurumie *2
Kristu, utuhurumie ee Kristu
Ee ee Kristu utuhurumie.*2
Bwana . . .
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni
Na amani iwe kote duniani,
Kwa watu wenye mapenzi mema
Chorus
{ Tunakusifu, tunakuheshimu
Na tunakuabudu Baba tunakutukuza } *2
Tunakushukuru Mungu kwa ajili
Ya utukufu wako mkuu ee Bwana,
Ni Mungu ndiwe mfalme wa Mbingu
Ee Baba Mwenyezi Bwana Yesu Kristu
Ee Mwana wa pekee ee Mungu Mwana
Kondoo wa Mungu mwana wake Baba.
Mwenye kuziondoa dhambi za dunia
Utuhurumie tuhurumie
Upokee Baba maombi yetu
Ewe mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie kwa kuwa ndiwe
Pekee yako ndiwe mtakatifu
Pekee yako ndiwe mkuu
Ee Yesu Kristu pamoja naye
Roho Mtakatifu milele yoten