Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Wewe uliyetumwa kuwaponya wanaojuta dhambi
Ee Bwana utuhurumie, ee Bwana utuhurumie
Bwana, Bwana, ee Bwana, ee Bwana utuhurumie
Wewe uliyekuja kuwaita wakosefu
Ee Kristu, utuhurumie, ee Kristu, utuhurumie
Kristu, Kristu, ee Kristu, ee Kristu, utuhurumie
Wewe unayeketi kuume kwa Baba, ukituombea,
Ee Bwana utuhurumie, ee Bwana utuhurumie
Bwana, Bwana, ee Bwana, ee Bwana utuhurumie
Gloria
Glory to God
Utukufu (utukufu), utukufu (utukufu),
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
Na amani (na amani) duniani (duniani)
Kwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu Bwana, tunakuheshimu,
Tunakuabudu (Bwana), tunakutukuza,
Tunakushukuru (tunakushukuru)
Kwa ajili ya utukufu wako mkuu *4
Ee Bwana Mungu, Mfalme wa Mbinguni,
Ee ee Bwana Mungu, Mungu Baba Mwenyezi.
Ee Bwana Yesu Kristu, Mwana wa pekee *2
Ee Bwana Mungu, (ee Bwana Mungu)
Mwanakondoo wa Mungu mwana wa Baba *4
Mwenye kuondoa dhambi za dunia,
Utuhurumie, pokea ombi letu
Ee Mwenye kuketi (ee mwenye kuketi)
Kuume kwa Baba tuhurumie *4
Kwa kuwa ndiwe, peke yako Mtakatifu,
Peke yako Bwana Mkuu, peke yako Yesu Kristu
Pamoja na roho (Roho Mtakatifu)
Katika utukufu wa Mungu Baba *4
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
{ Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu
Bwana Mungu wa majeshi } *2
{ Mbingu na dunia zimejaa,
Utukufu wako Bwana } *2
{ Hosanna juu, Hosanna juu
Hosanna juu, Hosanna juu Mbinguni } *2
{ Mbarikiwa anayekuja, kwa jina la Bwana } *2
Lamb of God
Agnus Dei
Mwanakondoo, ee Mwanakondoo
Ee Mwanakondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za dunia,n{ Utuhurumie, utuhurumie } *2 huruma!
Mwanakondoo, ee Mwanakondoo
Ee Mwanakondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za dunia,n{ Utuhurumie, utuhurumie } *2 huruma!
Mwanakondoo, ee Mwanakondoo
Ee Mwanakondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za dunia,n{ Utujalie amani } *2 amani