Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana tuhurumie, tuhurumie ewe Bwana
Aah aah ah Bwana
Tuhurumie ewe Bwana n
Yesu Kristu tuhurumie ewe Kristu
Aah aah ah Kristu
Tuhurumie ewe Kristun
Bwana tuhurumie, tuhurumie ewe Bwana
Aah aah ah Bwana
Tuhurumie ewe Bwana n
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu na amani
Duniani, na amani kwa watu wote (wenye)n[Wenye mapenzi mema,
Watu wenye mapenzi mema
Wenye mapenzi watu (wenye)
Mapenzi mema] *2n
Tunakusifu tunakuheshimu
Tunakuabudu tunakutukuza
Tunakushukuru kwa ajili ya
Utukufu wako, wako mkuun
Ee Bwana Mungu mfalme wa mbinguni
Mungu Baba mwenyezi ee Bwana Yesu Kristu
Mwana wa pekee, ee mwana wa Mungu
Mwana kondoo wa Mungu, mwana wa Baban
Mwenye kuondoa dhambi za dunia
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
Pokea ombi letu ewe mwenye kuketi
Kuume kwa Baba, uuhurumien
Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako
Peke yako mkuu ee Bwana Yesu Kristu
Pamoja na roho Mtakatifu
Katika utukufu, wa Mungu Baba aminan