Misa Matilda

5 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Bwana utuhurumie Bwana, Bwana,

Bwana utuhurumie, Bwana, Bwana utuhurumie

Bwana, Bwana utuhurumie

Kristu utuhurumie, Kristu utuhurumie

Kristu utuhurumie

Bwana . . .

Gloria

Glory to God

{ Utukufu kwa Mungu juu, utukufu kwa Mungu juu

Utukufu kwa Mungu juu, kwa Mungu juu mbinguni } *2n{ Na amani duniani (amani) na amani duniani

Na amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema } *2

Chorus

Tunakusifu - tunakuheshimu,

Tunakuabudu iyo iyo tunakutukuza tunakushukuru

Kwa ajili kwa ajili ya utukufu

Utukufu utukufu wako mkuu

Ee Bwana Mungu mfalme wa mbinguni

Mungu Baba mwenyezi mwenyezi

Ee Bwana Yesu, Bwana Yesu Kristu

Mwana wa pekee wa Mungu

Ee Mwana Mungu, Mwanakondoo wa Mungu wa Mungu

Mwana Mwana wa Baba wa Baba

Mwenye kuondoa dhambi, za dunia utuhurumie

Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia, pokea ombi letu

Ewe mwenye kuketi kuume kwa Baba utuhurumie

Kwa Baba utuhurumie

Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako mtakatifu *2

Peke yako Bwana (Bwana) peke yako mkuu

Peke yako mkuu Yesu Kristu

Pamoja na roho, pamoja na roho mtakatifunkatika utukufu - Utukufu wa Mungu baba amina

Amina ....

Aleluya

Alleluia

Chorus

Aleluya Aleluya Aleluya Aleluya Aleluya Aleluya Aleluyan(Aleluya Aleluya Aleluya Aleluya Aleluya) x 2

Siwaiti tena watumwa kwa maana mtumwa hajuinhajui atendalo Bwana wake atendalo Bwana wake.

Lakini ninyi nimewaita rafiki kwa kuwa yotenniliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu nimewaarifu Aleluya

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

{ Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu Mtakatifu,

Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi } *2

Mbingu na dunia zimejaa, zimejaa utukufu wako

Chorus

Hosanna, hosanna hosanna juu Mbinguni hosanna juu

[s] Mbarikiwa mwenye kuja, kwa jina -

Mbarikiwa mwenye kuja kwa jina

Mwenye kuja kwa jina la Bwana, la Bwana

Mwenye kuja kwa jina la Bwana, hosanna

[ b] Hosanna hosanna, hosanna hosanna hosanna, hosannan[w] Hosanna hosanna, hosanna hosanna hosanna, hosanna

Hosanna hosanna, hosanna hosanna hosanna, hosanna

Hosanna hosanna, hosanna, hosanna, hosanna

Hosanna hosanna hosanna juu mbinguni (hosanna)

Hosanna hosanna hosanna juu mbinguni (hosanna Mbinguni)

Hosanna hosanna hosanna juu mbinguni

Lamb of God

Agnus Dei

Mwanakondoo, wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia,nuondoaye dhambi za dunia utuhurumie

Mwanakondoo, wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia,nuondoaye dhambi za dunia utuhurumie

Mwanakondoo, wa Mungu, uondoaye dhambi za dunia,nutujalie amani utujalie utujalie amani utujalie tujalie amani