Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Tunakuomba Bwana, ‘tuhurumie, Bwana ntu wakosefu
Bwana, ‘tuhurumien
Tunakuomba Kristu, ‘tuhurumie
Kristu, makosa tunakirin‘tuhurumien
Tunakuomba Bwana, ‘tuhurumie, Bwanantu wakosefu
Bwana, ‘tuhurumien
Gloria
Glory to God
Utukufu juu mbinguni kwa Mungu, na
Amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema n
Tunakuheshimu, tunakusifu
Tunakuabudu, twakutukuzan
Tunakushukuru, Mfalme wa Mbingu
Mwenye utukufu, Baba mwenyezin
Ewe Yesu Mwana wa Baba
Mwana wa pekee mwana kondoon
Unayeondoa makosa yetu
Utuhurumie utusikien
Pamoja na roho Mtakatifu
Kwa ‘tukufu wake Baba milelen
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu Mtakatifu ee Bwana Mtakatifu
Bwana Mungu wa majeshi n
Mbingu na dunia yote
Kweli zimejaa
Utukufu wako, Bwanan
Hosanna *2 hosana juu Mbinguni
Mbarikiwa mwenye kuja
Kwa jina la bwana n
Lamb of God
Agnus Dei
Mwana kondoo wa Mungu, ee
Unayeziondoa dhambi zetu, ‘tuhurumie*2n
Mwanakondoo wa Mungu, ee
Unayeziondoa dhambi zetu, ‘tupe amanin