Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Utuhurumie
Bwana utuhurumie
Ee Bwana *2
Bwana utuhurumie
Kristu utuhurumie
Kristu utuhurumie *2
Utuhurumie
Bwana utuhurumie
Ee Bwana *2
Bwana utuhurumie
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu mbinguninna amani na amani ulimwenguni
Ulimwenguni kwankwa watu wenye mapenzi mema
Tunakusifu, tunakuheshimu,ntwakuabudu, tunakutukuza
Twakushukuru, mfalme wa Mbinguni,nkwa ajili ya utukufu wako
Ee bwana Mungu, Mfalme wa mbinguni,
Baba Mwenyezi, Muumba wa wote
Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee
Mwana kondoo, Mwana wake Mungu.
Uondoaye, dhambi za dunia,ntuhurumie, utuhurumie
Uondoaye, dhambi za dunia,nulipokee, hili ombi letu.
Unayeketi kuume kwa Baba tuhurumie,nutuhurumie, Kwa kuwa wewe,nndiwe peke yako, Mtakatifu,npeke yako Bwana
Peke yako mkuu, Bwana Yesu Kristu,npamoja naye, Roho Mtakatifu
Kwa utukufu, wake Mungu Baba,nmilele yote, Amina, Amina
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mwanakondoo (mwana) wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu
Utuhurumie, utuhurumien
Mwanakondoo (mwana) wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu
Utuhurumie, utuhurumien
Mwanakondoo (mwana) wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu
Utujalie amanin