SectionsEucharistMisa Kiserian (Utukufu)

Misa Kiserian (Utukufu)

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Utukufu kwa Mungu juu mbinguninna amaninna amani

Duniani

Duniani kwankwa watu wenye mapenzi mema

Verse 2

Tunakusifu, tunakuheshimu,ntwakuabudu, tunakutukuza

Twakushukuru, mfalme wa Mbinguni,nkwa ajili ya utukufu wako.

Verse 3

Ee bwana Mungu, Mfalme wa mbinguni,

Baba Mwenyezi, Muumba wa wote

Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee

Mwana kondoo, Mwana wake Mungu.

Verse 4

Uondoaye, dhambi za dunia,ntuhurumie, utuhurumie

Uondoaye, dhambi za dunia,nulipokee, hili ombi letu.

Verse 5

Unayeketi kuume kwa Baba tuhurumie,nutuhurumie, Kwa kuwa wewe,nndiwe peke yako, Mtakatifu,npeke yako Bwana

Verse 6

Peke yako mkuu, Bwana Yesu Kristu,npamoja naye, Roho Mtakatifu

Kwa utukufu, wake Mungu Baba,nmilele yote, Amina, Amina