Ninasadiki, ninasadiki, ninasadiki
Ninasadiki, ninasadiki
Ninasadiki kwa Mungu mmoja,
Baba mwenyezi muumba wa mbingu
Na vitu vinavyoonekana pia ambavyonhavionekani
Ninasadiki kwa Yesu Kristu,
Mwana wa pekee
Mwana wake Mungu
Mwanga kwa Mwanga na Mungu kweli,
Tangu milele atoka kwa Baba
Aliyezaliwa bila kuumbwa, mwenyenumungu mmoja na Baba
Ambaye vitu vyote vimeumbwa naye,nameshuka toka mbinguni
Kwa ajili yetu sisi wanadamu, na kwanajili ya wokovu wetu
Akapata mwili kwa uwezo wa Roho
Mtakatifu, kwake yeye
Bikira Maria akawa mwanadamu,nakasulibiwa
Pia kwa ajili yetu sisi, akateswa kwanmamlaka ya Ponsyo Pilato
Akafa akazikwa
Akafufuka siku ya tatu kapaa mbinguninilivyoandikwa
Atarudi tena kwa utukufu kuwahukumunwazima na wafu
Ninasadiki pia kwa Roho, Mtakatifu,nmleta uzima
Atokaye kwao Baba na Mwana,naliyenena, kwao manabii
Ninasadiki, kanisa moja,nkatoliki, hilo la mitume,
Ninaungama na ubatizo,nufufuko na, uzima milele.