Verse 1
Mwanakondoo (mwana) wa Mungu
Uondoaye dhambi za dunia
Utuhurumie, utuhurumie
Mwana mwanakondoo wa Mungu
Mwana kondoo - Wa Mungunwa – ke Mungu
Mwanakondoo wa Mwana kondoo wake
Mungu
Uondoaye dhambi za dunia
Uondoaye dhambi, dhambi za dunia
Uondoaye dhambi za dunia
Utujalie amani.