Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana wetu, twakuomba huruma yako
Bwana utusamehe sisi wana wako
Makosa yetun
Yesu kristu twakuomba huruma yako,
Kristu, utusamehe sisi ndugu zako
Makosa yetun
Bwana wetu, twakuomba huruma yako
Bwana utusamehe sisi wana wako
Makosa yetun
Gloria
Glory to God
Utukufu mbinguni, kote ulimwenguni
Utukufu juu mbinguni, na amani ulimwengunin
Tumsifu Mungu, tumwabudu
Na heshima tumpe tumtukuzen
Ndiwe Mungu Baba na Mwenyezi
Uliumba Mbingu na dunian
Yesu Kristu, u Mwana wa Baba
Na mwana kondoo, Mkombozin
Mwenye kuzifuta dhambi zetu
Utuhurumie, ‘tusikien
Pokeeni sifa kwa utatu
Baba, Mwana, Roho Mtakatifun
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Ee Mtakatifu- ee Mtakatifu
Ee mtakatifu Bwana wetu Mungu,
Mungu wa majeshin
Mbingu na dunia kweli zimejaa
Utukufu wako
Kweli zimejaa utukufu wakon
Hosanna- juu hosanna mbinguni *2
Amebarikiwa yule mwenye kuja
Kwa jina la Bwanan
Lamb of God
Agnus Dei
Ee Mwana kondoo wa Mungu uondoaye
Dhambi za ulimwengu, utuhurumie *2n
Ee Mwana kondoo wa Mungu uondoaye
Dhambi za ulimwengu, utupe amanin