Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Utuhurumie
Ee Bwana, ee Bwana, ee Bwanan‘Tuhurumie
Ee Bwana, ee Bwana, ee Bwana, Bwana,nutuhurumie.
Utuhurumie
Ee Kristu, ee Kristu, ee Kristun‘Tuhurumie
Ee Kristu, ee Kristu, ee Kristu, Kristu,nutuhurumie.
Utuhurumie
Ee Bwana, ee Bwana, ee Bwanan‘Tuhurumie
Ee Bwana, ee Bwana, ee Bwana, Bwana,nutuhurumie.
Gloria
Glory to God
Utukufu juu kwa Mungu,nutukufu juu mbinguni
Na amani kote duniani kwa wenyenmapenzi mema
Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu,
Tunakutukuza, twakushukuru kwa ajili ya
Utukufu wako mkuu
Ewe Mungu, ndiwe Mfalme wa mbinguni,
Baba Mwenyezi,
Ewe Bwana Yesu Krisu, wa pekee
Mwana wa Baba
Ewe Yesu, Mwanakondoo wa Mungu,
Mwana wa Baba,Ewe mwenye kuziondoa dhambi zetu,n‘tuhurumie.n
Ewe mwenye kuziondoa za duniandhambi za watu
Ewe mwenye rehema nyingi,nupokee maombi yetu.
Uketiye kuume kwake Mungu Baba,n‘tuhurumie,
Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako
Mtakatifu,n
Peke yako ni wewe Bwana, peke yako
Bwana Mkuu,
Peke yako ni Mkombozi,npeke yako Yesu Kristu.
Naye Roho Mtakatifu, katikan‘tukufu wake,
Mungu mmoja anayeishi na kutawalanmilele yote
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu, Mtakatifu, mtakatifu, Bwana
Mungu – Wa majeshi
Mbingu na dunia zimejaa ‘tukufu wako
Hosana - Hosanna juu mbinguni}
Hosana - Hosana juu mbinguni} *2n
Mbarikiwa - Anayekuja kwa jina lake
Bwana Mungu *2
Hosana - Hosanna juu mbinguni}
Hosana - Hosana juu mbinguni} *2n
Lamb of God
Agnus Dei
Ee Mwana Kondoo -
Uondoaye dhambi za ulimwengu, utuhurumie
Ee Mwana Kondoo -
Uondoaye dhambi za ulimwengu, utuhurumie
Ee Mwana Kondoo -
Uondoaye dhambi za ulimwengu, utujalie amani