SectionsEucharistMisa Kariobangi (Utukufu)

Misa Kariobangi (Utukufu)

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Utukufu juu kwa Mungu,nutukufu juu mbinguni

Na amani kote duniani kwa wenyenmapenzi mema

Verse 2

Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu,

Tunakutukuza, twakushukuru kwa ajili ya

Utukufu wako mkuu

Verse 3

Ewe Mungu, ndiwe Mfalme wa mbinguni,

Baba Mwenyezi,

Ewe Bwana Yesu Krisu, wa pekee

Mwana wa Baba

Verse 4

Ewe Yesu, Mwanakondoo wa Mungu,

Mwana wa Baba,

Ewe mwenye kuziondoa dhambi zetu,n‘tuhurumie.

Verse 5

Ewe mwenye kuziondoa za duniandhambi za watu

Ewe mwenye rehema nyingi,nupokee maombi yetu.

Verse 6

Uketiye kuume kwake Mungu Baba,n‘tuhurumie,

Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako

Mtakatifu,

Verse 7

Peke yako ni wewe Bwana, peke yako

Bwana Mkuu,

Peke yako ni Mkombozi,npeke yako Yesu Kristu.

Verse 8

Naye Roho Mtakatifu, katikan‘tukufu wake,

Mungu mmoja anayeishi na kutawalanmilele yote.