Verse 1
Nasadiki kwa Mungu mmoja -
Ndiye Baba yetu Mwenyezi -
Mwumba mbingu pia dunia -
Nasadiki kwa Yesu Kristu -
Chorus
Nasadiki, nasadiki, ninasadiki,
Nasadiki, nasadiki, ninasadiki.
Verse 3
Mwana wa pekee wa Mungu -
Mwenye kuzaliwa kwa Baba -
Akapata mwili kwa Roho -n‘Kazaliwa naye Bikira -
Verse 4
Kisha yeye ‘kasulibiwa -
Kwa amri ya Ponsyo Pilato -Kwa ajili yetu kateswa -
Akafa na akazikwa -
Verse 5
‘Kafufuka katika wafu -n‘Kapaa juu mbinguni -
Ameketi kuume kwake -
Mungu Baba yetu Mwenyezi -
Verse 6
Ndipo atakapotokea -
Kuhukumu wazima na wafu -
Kwake Roho Mtakatifu -
Kwa kanisa la Katoliki -
Verse 7
Ushirika wa watakatifu -n‘Ondoleo ya dhambi -
Nangojea ufufuko wa mwili -
Na uzima wa milele -n