Verse 1
Mtakatifu, Mtakatifu, mtakatifu, Bwana
Mungu – Wa majeshi
Mbingu na dunia zimejaa ‘tukufu wako.
Hosana - Hosanna juu mbinguni}
Hosana - Hosana juu mbinguni}x2
Verse 2
Mbarikiwa - Anayekuja kwa jina lake
Bwana Mungu x2
Hosana.. x2
Mtakatifu, Mtakatifu, mtakatifu, Bwana
Mungu – Wa majeshi
Mbingu na dunia zimejaa ‘tukufu wako.
Hosana - Hosanna juu mbinguni}
Hosana - Hosana juu mbinguni}x2
Mbarikiwa - Anayekuja kwa jina lake
Bwana Mungu x2
Hosana.. x2