Misa Jericho

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Bwana uturehemu, uturehemu *2

Ewe mwenye huruma- uturehemu

Tunakukimbilia- uturehemu

Sisi tu wakosefu

Dhambi tunazitubun

Kristu uturehemun(ndugu yetu na Mwokozi, uturehemu) *2n

Gloria

Glory to God

Tunakusifu twakuheshimu

Twakuabudu twakutukuza *2n

Mungu Baba wa mbinguni- utukufu kwako

Muumba na mtunzi wetun

Mwana wa pekee, yesu

Ndugu na mwokozi wetun

Roho Mungu Mtakatifu

Mtakasa, Mfarijin

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu, ee mtakatifu, ee

Mtakatifu, ee mtakatifu, ee

Mungu wa majeshin

Mungu Baba wa mbinguni- utukufu kwako

Muumba na mtunzi wetun

Mbingu na dunia yote

Zimejaa utukufu wakon

Hosanna juu mbinguni, hosanna juu

Hosanna juu mbinguni, hosanna juu, juun

Lamb of God

Agnus Dei

Ee mwana kondoo wa Mungu,

Mwenye kuondoa dhambi zetu

Utuhurumie, ewe Bwana *2n

Ee mwana kondoo wa Mungu,

Mwenye kuondoa dhambi zetu,

Utujalie amanin