Misa Imani

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Bwana, Bwana utuhurumien‘tuhurumie Bwana n

Kristu, Kristu utuhurumien

Bwana, Bwana utuhurumien‘tuhurumie Bwana n

Gloria

Glory to God

Utukufu mbinguni, juu kwa Mungu

Na amani, kwa watu duniani koten

Tunakuheshimu, pia twakusifu

Tunakuabudu, tunakutukuzan

Unayeondoa dhambi za dunia

Utuhurumie, utusikilizen

Kwa Baba kuume, wewe unaketi

Ndiwe Mtakatifu, mkuu Yesu Kristun

Pamoja na Roho, Roho mfariji

Tumtolee sifa Mungu, Baba yetun

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Ee Mtakatifu, Ee Mtakatifun(Mtakatifu mtakatifu)

Ee Mtakatifu Bwana Mungu

Mungu wa majeshin

Chorus

Hosana juu hosanna mbinguni *2

Mbingu na dunia zimejaa,n(zimejaa zimejaa)

Utukufu wako, zimejaa utukufu wakon

Amebarikiwa yule mwenye kuja,n(yule mwenye kuja)

Kwa jina la Bwanan

Lamb of God

Agnus Dei

Mwana kondoo wa Mungu

Uondoaye dhambi za dunia, utuhurumie *2n

Mwana kondoo wa Mungu,

Uondoaye dhambi za dunia, utupe amaninn