Misa Furaha

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Bwana, Bwana, Bwana, ‘tuhurumie

Bwana, Bwana, Bwana, utuhurumie

Ee Bwana, Bwana, ‘tuhurumien

Kristu, ‘tuhurumie, Kristu, ‘tuhurumie

Kristu, ‘tuhurumie, Kristu, ‘tuhurumie

Bwana, Bwana, Bwana, ‘tuhurumie

Bwana, Bwana, Bwana, utuhurumie

Ee Bwana, Bwana, ‘tuhurumien

Gloria

Glory to God

Utukufu juu kwa Mungu Mbinguni na

Amani duniani kote kwao wenye mapenzi meman

Tunakusifu tunakuheshimu

Twakuabudu tunakutukuzan

Twakushukuru mwenye utukufu,

Mfalme wa Mbingu, Mungu Baba yetun

Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee,

Uliye Mwana kondoo wa Mungun

Mwenye kufuta dhambi za dunia n‘tuhurumie, utusikilizen

Unayeketi kuume kwa Baba,

U peke yako mkuu Yesu Kristun

Pamoja naye Roho Mtakatifu,

Katika utukuu wake Baban

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu

Mungu wa majeshin

Mbingu na dunia, mbingu na dunia

Zimejaa, zimejaa utukufu wakon

Chorus

Hosana *3 hosana juu mbinguni

Mbarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana

Lamb of God

Agnus Dei

Ee Mwana kondoo wa Mungu, unaye

Ondoa dhambi zetu, ‘tuhurumie *2n

Ee Mwana kondoo wa Mungu, unaye ondoa

Dhambi zetu, ‘tupe amani

Tupe amani yako, ‘tupe amani.n