Verse 1
Nasadiki, ninasadiki.
Nasadiki kwa Mungu Baba,
Mwumba wa vyote,
Nasadiki kwa Yesu Kristu,
Mwana wa pekee.n
Chorus
Nasadiki, ninasadiki. x2
Verse 3
Kwa uwezo wa Roho Mungu katwa-a mwili,
Na hapo Bikira Maria kawa mamaye.n53
Kwa amri ya Ponsyo Pilato kasulibiwa,
Akafa, ‘kazikwa, akashukia kuzimu.
Verse 4
Siku ya tatu kafufuka, kapaa mbinguni,
Kaketi kuume kwa Mungu,
Baba Mwenyezi.
Verse 5
Atarudi siku ya mwisho kutuhukumu.
Nasadiki kwa Roho Mfariji Mtakatifu.
Kanisa pia, takatifu na katoliki;
Ushirika wa watakatifu wa mbinguni.
Verse 6
Na maendeleo ya dhambi kwa ubatizo;n‘fufuko wa mi-ili, uzima wa milele.