Chorus
Jina lako Baba, litukuzwe.
Utawale petu milele yote x2
Verse 2
Baba yetu mwema uliye mbinguni,
Jina lako, Baba litukuzwe - Jina lako x1
Verse 3
Na ufalme wako uje hapa kwetu,
Na mapenzi yako yatimilike -
Verse 4
Tupe leo mkate wa kila siku,n‘Tupe leo mkate wa kila siku -
Verse 5
Na utusamehe makosa yetu,
Kama tufanyavyo kwa ndugu zetu -n“Situtie, Baba, Kishawishini,
Bali maovuni utuopoe -
Verse 6
Ufalme na nguve nao utukufu,
Vyote vyako, Baba, hata milele -