Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu mbinguni
Na amani kwao watu ulimwengunin
Sote twakusifu, tena tunakuheshimu
Tunakuabudu Baba tunakutukuzan
Tunakushukuru kwa ‘tukufu wako mkuu
Ewe Bwana Mungu, ndiwe mfalme wa Mbingunin
Bwana Yesu Kristu, Mwana wa pekee wa Mungu
U mwana kondoo wake Mungu Baba yetun
Mwenye kuondoa dhambi utuhurumie
Kwa rehema zako upokee ombi letun
We’ unayeketi kuume kwa Mungu Baba
Utuhurumie, we’ uliye Mtakatifunn
Bwana mkuu Kristu, naye Roho Mtakatifu
Mwenye kushiriki utukufu wake Baban
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Ee Mtakatifu, Mtakatifu, Bwana
Bwana Mungu wetu, Mungu wa majeshin
Mbingu na dunia, mbingu na dunia
Kweli zimejaa utukufu wakon
Amebarikiwa, amebarikiwa Yule
Mwenye kuja kwa jina la Bwana n
Hosanna juu, hosanna juu
Hosanna juu, juu mbingunin
Lamb of God
Agnus Dei
Mwana kondoo wake Bwana Mungun(Mwana kondoo wa Mungu)
Unayeondoa dhambi , ‘tuhurumie,
Tuhurumie Mwana kondoo wake Bwana Mungu *2n
Mwana kondoo wake Bwana Mungun(Mwana kondoo wa Mungu)
Unayeondoa dhambi , utujalie amani
Utujalie amani Mwana kondoo wake Bwana Mungu *2n