Misa Cosmas

3 sections

Gloria

Glory to God

Chorus

Utukufu kwa Mungu *2,nna amani duniani *2, kwa watu wenyenmapenzi (kwa watu wenye),nkwa wenye mapenzi mema.

Tunakusifu Bwana, tunakuheshimu

Twakuabudu Bwana, tunakutukuza

Twakushukuru Baba Mwenyezi,n

Mfalme wa Mbinguni

Ee Bwana Yesu Kristu Mwana wa pekee

Mwana kondoo wa Mungu,

Mwana wake Baba

Uondoaye makosa yetu utuhurumie

Tunakusihi Bwana utusikilize

Wewe unayeketi kuume kwa Baba

Ni peke Bwana ni Mtakatifu mkuu Yesu Kristu

Pamoja naye Mungu Roho Mtakatifu

Katika utukufu wake Mungu Baba

Milele yote, milele yote, Amina. Amina.

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu Bwana

Mtakatifu,nmtakatifu Mungu wa majeshi *2

Mtakatifu Bwana

Mtakatifu,nmtakatifu Mungu wa majeshi *2

Chorus

Hosana Hosanankwa Mwana wa Daudi

Hosana, Hosana kwa Mwana wa Daudi

Hosana, Hosana;

Hosana juu mbinguni

Hosana, Hosana, Hosana juu mnbinguni

Mbarikiwa yeye mwenye kuja

Kwa jina la Bwana mwenye kuja

Mbarikiwa mwenye kujankwa jina la Bwana

Lamb of God

Agnus Dei

Mwana kondoo wa Mungu tuhurumie *2

Uondoaye dhambi zetu tuhurumie *2

Mwana kondoo wa Mungu tupe amani *2

Uondoaye dhambi zetu tupe amani *2

Utupe amani Ee Bwana utupe amani *2

Utupe amani Ee Bwana utupe amani *2