SectionsEucharistMisa Cosmas (Utukufu)

Misa Cosmas (Utukufu)

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Utukufu kwa Mungu x2,nna amani duniani x2, kwa watu wenyenmapenzi (kwa watu wenye),nkwa wenye mapenzi mema.

Verse 2

Tunakusifu Bwana, tunakuheshimu

Twakuabudu Bwana, tunakutukuza

Twakushukuru Baba Mwenyezi,

Mfalme wa Mbimguni

Verse 3

Ee Bwana Yesu Kristu Mwana wa pekee

Mwana kondoo wa Mungu,

Mwana wake Baba

Uondoaye makosa yetu utuhurumie

Tunakusihi Bwana utusikilize

Wewe unayeketi kuume kwa Baba

Ni peke Bwana ni Mtakatifu mkuu Yesu Kristu

Verse 4

Pamoja naye Mungu Roho Mtakatifu

Katika utukufu wake Mungu Baba

Milele yote, milele yote, Amina. Amina