Verse 1
Mtakatifu Bwana
Mtakatifu,nmtakatifu Mungu wa majeshi x2
Mbingu na dunia zimejaa
Utukufu wako zimejaa
Zimejaa, zimejaa utukufu wako
Hosana Hosanankwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana kwa Mwana wa Daudi
Hosana, Hosana;
Hosana juu mbinguni
Hosana, Hosana, Hosana juu mnbinguni
Mbarikiwa yeye mwenye kuja
Kwa jina la Bwana mwenye kuja
Mbarikiwa mwenye kujankwa jina la Bwana
Hosana, Hosanan(as above up to “juu mbinguni”)