Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Utuhurumie ee Bwana, ee,
Ee Bwana, ee Bwana (tuhurumie) ee Bwana
Ee, Bwana ee
Ee ee eh Bwana*2
Ee Kristu, 'tuhurumie, 'tuhurumie
Utuhurumie ee ee, Kristu 'tuhurumie
Ee Kristu 'tuhurumie
(Ee Kristu*4, Ee Kristu, utuhurumie*2)n(ee Kristu, tuhurumie tuhurumie,
Ee ee ee Kristu tuhurumie)
Utuhurumie ee Bwana, ee,
Ee Bwana, ee Bwana (tuhurumie) ee Bwana
Ee, Bwana ee
Ee ee eh Bwana*2
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni,
Na amani iwe kwa watu wenye
Mapenzi mema duniani kote.
Tunakusifu, Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu,ntunakutukuza.
Tunakushukuru, Mungu kwa ajili,
Ya ‘tukufu wako mkuu, ee Bwana, ni
Mungu ndiwe Mfalme wa mbinguni
Ee Baba Mwenyezi, Bwana Yesu Kristu,
Ee Mwana wa pekee, ee Mungu Mwana
Kondoo wa Mungu, Mwana wake Baba.n
Mwenye kuondoa dhambi za dunia,
Utuhurumie, ‘tuhurumie,
Maombi yetu, Bwana, uyapokee
Mwenye kuketi kuume kwa Baba,
Utuhurumie, kwa kuwa ndiwe
Pekee yako ni Mtakatifu
Pekee yako, Bwana, pekee yako mkuu,
Ewe Yesu Kristu, pamoja naye
Roho Mtakatifu milele yote.
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu, Bwana Mungu.
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu Bwana Mungu, wa majeshi, *2
Mbingu na dunia zimejaa utukufu
Mbingu na dunia, mbingu na dunia,
Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako,
Zimejaa utukufu wako.
Hosana juu, hosanna juu,
Hosana juu, hosanna juu mbinguni *2
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina
Mbarikiwa yeye, mbarikiwa yeye,
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana,
Ajaye kwa jina la Bwana.
Hosana juu, hosanna juu,
Hosana juu, hosanna juu mbinguni *2
Lamb of God
Agnus Dei
Ee Mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za ulimwengu, ee
Ee Mwana ‘tuhurumie.
Mwana kondoo wa Mungu, ee,
Ee Mwana. ‘tuhurumie. *2
Mwana kondoo wa Mungu, ee , utujalie
Mwenye kuondoa dhambi zetu, ee
Amani utujalie, utujalie amani, ee
Amani utujalie, utujalie, ee,
Amani utujalie.