Misa Centinary

4 sections

Lord Have Mercy

Lord Have Mercy

Utuhurumie ee Bwana, ee,

Ee Bwana, ee Bwana (tuhurumie) ee Bwana

Ee, Bwana ee

Ee ee eh Bwana*2

Ee Kristu, 'tuhurumie, 'tuhurumie

Utuhurumie ee ee, Kristu 'tuhurumie

Ee Kristu 'tuhurumie

(Ee Kristu*4, Ee Kristu, utuhurumie*2)n(ee Kristu, tuhurumie tuhurumie,

Ee ee ee Kristu tuhurumie)

Utuhurumie ee Bwana, ee,

Ee Bwana, ee Bwana (tuhurumie) ee Bwana

Ee, Bwana ee

Ee ee eh Bwana*2

Gloria

Glory to God

Utukufu kwa Mungu juu mbinguni,

Na amani iwe kwa watu wenye

Mapenzi mema duniani kote.

Chorus

Tunakusifu, Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu,ntunakutukuza.

Tunakushukuru, Mungu kwa ajili,

Ya ‘tukufu wako mkuu, ee Bwana, ni

Mungu ndiwe Mfalme wa mbinguni

Ee Baba Mwenyezi, Bwana Yesu Kristu,

Ee Mwana wa pekee, ee Mungu Mwana

Kondoo wa Mungu, Mwana wake Baba.n

Mwenye kuondoa dhambi za dunia,

Utuhurumie, ‘tuhurumie,

Maombi yetu, Bwana, uyapokee

Mwenye kuketi kuume kwa Baba,

Utuhurumie, kwa kuwa ndiwe

Pekee yako ni Mtakatifu

Pekee yako, Bwana, pekee yako mkuu,

Ewe Yesu Kristu, pamoja naye

Roho Mtakatifu milele yote.

Holy Holy

Holy, Holy, Holy

Mtakatifu, mtakatifu,

Mtakatifu, Bwana Mungu.

Mtakatifu, mtakatifu,

Mtakatifu Bwana Mungu, wa majeshi, *2

Mbingu na dunia zimejaa utukufu

Mbingu na dunia, mbingu na dunia,

Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako,

Zimejaa utukufu wako.

Hosana juu, hosanna juu,

Hosana juu, hosanna juu mbinguni *2

Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina

Mbarikiwa yeye, mbarikiwa yeye,

Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana,

Ajaye kwa jina la Bwana.

Chorus

Hosana juu, hosanna juu,

Hosana juu, hosanna juu mbinguni *2

Lamb of God

Agnus Dei

Ee Mwana kondoo wa Mungu

Uondoaye dhambi za ulimwengu, ee

Ee Mwana ‘tuhurumie.

Mwana kondoo wa Mungu, ee,

Ee Mwana. ‘tuhurumie. *2

Mwana kondoo wa Mungu, ee , utujalie

Mwenye kuondoa dhambi zetu, ee

Amani utujalie, utujalie amani, ee

Amani utujalie, utujalie, ee,

Amani utujalie.