Nasadiki kwa Mungu Mmoja,
Nasadiki,
Ndiye Baba yetu Mwenyezi,
Nasadiki,
Muumba mbingu pia dunia,
Nasadiki,
Nasadiki kwa Yesu Kristu,
Nasadiki,
Nasadiki
Nasadiki (Nasadiki) Nasadiki, Nasadiki.n
Mwana wa pekee wa Mungu
Nasadiki,
Aliyezaliwa kwa Baba
Nasadiki,
Akapata mwili Roho,
Nasadiki,
Kazaliwa naye Bikira,
Nasadiki,
Nasadiki…
Kisha yeye ‘kasulibiwa,
Nasadiki,
Kwa amri ya Pilato,
Nasadiki,
Kwa ajili yetu ‘kateswa,
Nasadiki,
Akafa na akazikwa,
Nasadiki,
Nasadiki…
‘Kafufuka katika wafu,
Nasadiki,
Akapaa juu mbinguni,
Nasadiki,
Ameketi kuume kwake,
Nasadiki,
Mungu Baba wetu Mwenyezi,
Nasadiki,
Nasadiki…
Ndipo atakapotokea,
Nasadiki,
Kuhukumu wazima na wafu,
Nasadiki,
Kwake Roho mtakatifu,
Nasadiki,
Kwa kanisa la katoliki,
Nasadiki,
Nasadiki…
Ushirika wa watakatifu,
Nasadiki,
Ondoleo la dhambi zetu,
Nasadiki,
Nangojea ‘fufuko wa mwili,
Nasadiki,
Na uzima wa milele.
Nasadiki. Nasadiki…