SectionsEucharistMisa Centinary (Nasadiki)

Misa Centinary (Nasadiki)

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Nasadiki kwa Mungu Mmoja,

Nasadiki,

Ndiye Baba yetu Mwenyezi,

Nasadiki,

Muumba mbingu pia dunia,

Nasadiki,

Nasadiki kwa Yesu Kristu,

Nasadiki,

Chorus

Nasadiki

Nasadiki (Nasadiki) Nasadiki, Nasadiki.n

Verse 3

Mwana wa pekee wa Mungu

Nasadiki,

Aliyezaliwa kwa Baba

Nasadiki,

Akapata mwili Roho,

Nasadiki,

Kazaliwa naye Bikira,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 4

Kisha yeye ‘kasulibiwa,

Nasadiki,

Kwa amri ya Pilato,

Nasadiki,

Kwa ajili yetu ‘kateswa,

Nasadiki,

Akafa na akazikwa,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 5

‘Kafufuka katika wafu,

Nasadiki,

Akapaa juu mbinguni,

Nasadiki,

Ameketi kuume kwake,

Nasadiki,

Mungu Baba wetu Mwenyezi,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 6

Ndipo atakapotokea,

Nasadiki,

Kuhukumu wazima na wafu,

Nasadiki,

Kwake Roho mtakatifu,

Nasadiki,

Kwa kanisa la katoliki,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 7

Ushirika wa watakatifu,

Nasadiki,

Ondoleo la dhambi zetu,

Nasadiki,

Nangojea ‘fufuko wa mwili,

Nasadiki,

Na uzima wa milele.

Nasadiki. Nasadiki…