Verse 1
Ee Mwana kondoo wa Mungu
Uondoaye dhambi za dunia, ee
Ee Mwana ‘tuhurumie.
Mwana kondoo wa Mungu, ee,
Ee Mwana. ‘tuhurumie. x2
Verse 2
Mwana kondoo wa Mungu, ee , utujalie
Mwenye kuondoa dhambi zetu, ee
Amani utujalie, utujalie amani, ee
Amani utujalie, utujalie, ee,
Amani utujalie.