Verse 1
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu, Bwana Mungu.
Verse 2
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu Bwana Mungu, wa majeshi, x2
Verse 3
Mbingu na dunia zimejaa utukufu
Mbingu na dunia, mbingu na dunia,
Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako,
Zimejaa utukufu wako.
Verse 4
Hosana juu, hosanna juu,
Hosana juu, hosanna juu mbinguni x2
Verse 5
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina
Mbarikiwa yeye, mbarikiwa yeye,
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana,
Ajaye kwa jina la Bwana.
Hosanna…