Chorus
Baba yetu wa mbinguni, (Baba),
Jina lako litukuzwe, ufalme wako ufke,n(Baba) utakalo lifanyike. }x2
Verse 2
Duniani kama mbinguni, Baba -
Utakalo lifanyiken
Verse 3
Tupe leo mkate wetu, Baba -n
Verse 4
Mkate wetu wa kila siku, Baba -
Verse 5
Tusamehe makosa yetun kama vile tunavyo wasamehenwaliotukosea sisi utakalo lifanyike.
Verse 6
Situtie kishawishini, Baba -n
Verse 7
Walakini utuopoe, Baba -
Maovuni utuopoe,Baba -
Verse 8
Kwa kuwa ‘falme ni wako, Baba -
Verse 9
Na nguvu na utukufu, Baba -
Utukufu hata milele, Baba