Mimina Neema

Thanksgiving
Verse 1

Mimina kama vile zilivyojaa juu

Mimina ziteremshe tuzipokee Bwanan

Chorus

Mimina neema zako mimina kati yetu

Mimina neema tele mimina Mungu wetu

Mimina (leo) neema nyingi mimina tufurahi

Mimina Bwana leo mimina ee

Bwana miminan

Verse 3

Mimina ulivyomimina kwa Abrahamu

Mimina uwamiminiavyo wamchao Bwana

Verse 4

Mimina tujae nguvu za kukutukuza

Mimina tukazieneze sifa zako Bwanan

Verse 5

Twakuinulia mikono huko uliko juu

Tazama wana wako tunaomba neema

Mimina neema mimina (Bwana Mungu

Mimina neema mimina)

Tunaomba Bwana (ewe Mungu mimina)n

Verse 6

Mimina neema neema mimina

Mimina kwa wote tulio hapa

Tujaze neema mimina

Mimina neema mimina

Mimina hata walio mbali

Peleka neema miminan

Verse 7

Mimina usiku ee

Mimina mchana ee

Mimina neema mimina

Mimina masika ee mpaka kiangazi

Daima neema mimina

Mimina neema mimina n(Bwana Mungu mimina

Mimina neema mimina, daima)n