Mimi Ninakuja

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

{ [ b ] Mimi ninakuja,n[ w ] Mimi ninakuja na zawadi zangu, Bwana pokea } *2

Verse 2

Mkate na divai, Bwana pokea

Mazao ya mashamba, Bwana pokea

Na pia nafsi zetu, Bwana pokea

Vyote tulivyo navyo, Bwana pokea

Verse 3

Furaha na uchungu, Bwana pokea

Na kiini cha ngano, Bwana pokea

Na tunda la mzabibu, Bwana pokea

Fedha za mifukoni, Bwana pokea

Verse 4

Nafaka upokee, Bwana pokea

Twakutolea vyote, Bwana pokea

Kwako Baba Muumba, Bwana pokea

Kwa njia ya Mwokozi, Bwana pokea

Verse 5

Katika mfariji, Bwana pokea

Ipate kugeuzwa, Bwana pokea

Iweze kutufaa, Bwana pokea

Pokea twakuomba, Bwana pokea

Verse 6

Ingawa ni kidogo, Bwana pokea

Twakutolea kwa moyo, Bwana pokea

Baba usikatae, Bwana pokea

Vipaji vya wanao, Bwana pokea