Mimi Ninakuja
Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{ [ b ] Mimi ninakuja,n[ w ] Mimi ninakuja na zawadi zangu, Bwana pokea } *2
Verse 2
Mkate na divai, Bwana pokea
Mazao ya mashamba, Bwana pokea
Na pia nafsi zetu, Bwana pokea
Vyote tulivyo navyo, Bwana pokea
Verse 3
Furaha na uchungu, Bwana pokea
Na kiini cha ngano, Bwana pokea
Na tunda la mzabibu, Bwana pokea
Fedha za mifukoni, Bwana pokea
Verse 4
Nafaka upokee, Bwana pokea
Twakutolea vyote, Bwana pokea
Kwako Baba Muumba, Bwana pokea
Kwa njia ya Mwokozi, Bwana pokea
Verse 5
Katika mfariji, Bwana pokea
Ipate kugeuzwa, Bwana pokea
Iweze kutufaa, Bwana pokea
Pokea twakuomba, Bwana pokea
Verse 6
Ingawa ni kidogo, Bwana pokea
Twakutolea kwa moyo, Bwana pokea
Baba usikatae, Bwana pokea
Vipaji vya wanao, Bwana pokea