Chorus
{ Mimi nimewachagua ninyi duniani
Mimi nimewachagua duniani } *2n{ Ili mpate kwenda kuzaa matunda
Na matunda yenu yadumu, yadumu, siku zote } *2
Verse 2
(Yesu alisema) si ninyi mlionichagua mimi,
Bali ni mimi nimewachagua ninyi
Verse 3
Nami nimewaweka kwenda kuzaa matunda
Na matunda yenu yadumu
Ili kwamba lolote mumwombalo Baba
Kwa jina langu awapeni
Verse 4
Iwapo ulimwengu utawachukia
Mjue kwamba umenichukia miminkabla ya kuwachukia ninyi.
Verse 5
Kama mngekuwa wa ulimwengu,
Ulimwengu ungeliwapenda
Lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu,
Bali mimi nimewachagua katika ulimwengu,
Kwa sababu hiyo ulimwengu utawachukia.