Mimi Nimeumbika
Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Mimi oh! oh oh! mimi oh! oh oh!
Niumbika mimi kweli napendeza } *2n{ Nitakuimbia, nitakuchezea
Asante Baba kuniumba jinsi nilivyo } *2
Verse 2
Nampenda Bwana kwa kuwa ananisikiliza
Huisikiliza sauti yangu na dua zangu
Hunitegea sikio lake nimwitapo yeye
Kwa hivyo nitaliita jina lake siku zote
Verse 3
Kamba za mauti ziliponizunguka mimi
Shida za kuzimu zikaniandama sana
Niliona tabu nyingi nikamlilia Bwana wangu
Nami nikaliita jina lake akaniokoa
Verse 4
Bwana katujalia sauti nzuri ya kupendeza
Ili tumwimbie yeye siku zote maishani
Kwa hivyo yatupasa sote kumwimbia yeye
Kwani Mungu wetu ni mkarimu kwa watu wote