SectionsThanksgivingMimi Nimeumbika

Mimi Nimeumbika

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Mimi oh! oh oh! mimi oh! oh oh!

Niumbika mimi kweli napendeza } *2n{ Nitakuimbia, nitakuchezea

Asante Baba kuniumba jinsi nilivyo } *2

Verse 2

Nampenda Bwana kwa kuwa ananisikiliza

Huisikiliza sauti yangu na dua zangu

Hunitegea sikio lake nimwitapo yeye

Kwa hivyo nitaliita jina lake siku zote

Verse 3

Kamba za mauti ziliponizunguka mimi

Shida za kuzimu zikaniandama sana

Niliona tabu nyingi nikamlilia Bwana wangu

Nami nikaliita jina lake akaniokoa

Verse 4

Bwana katujalia sauti nzuri ya kupendeza

Ili tumwimbie yeye siku zote maishani

Kwa hivyo yatupasa sote kumwimbia yeye

Kwani Mungu wetu ni mkarimu kwa watu wote