Mimi Nimesikia
Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Alleluia aa alleluia alleluia alleluia x2
Verse 2
Mimi nitasikia, ee sauti ya Bwana ee
Mungu wangu. x2n
Sauti ya Bwana, inaleta uzima eenee Mungu wangu. x2n
Mafundisho ya Bwana, yanaletanuzima ee ee Mungu wangu x2n
Unifundishe Bwana, mapenzi yakonee ee Mungu wangu. x2