Chorus
Mimi ni mzabibu, mimi ni mzabibu
Nanyi mu matawi yangu *2
Verse 2
Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu -
Kwani mu matawi nami kweli ni mzabibu
Verse 3
Nje yangu mimi hamuwezi kuzaa kwani . . .
Verse 4
Tawi lizaalo, lizidi kuzaa kwani . . .
Verse 5
Furaha yangu iwe, ndani yenu kwani . . .
Verse 6
Ombeni lolote, nanyi mtapewa kwani . . .
Verse 7
Amri yangu ndiyo, mpate kupendana kwani . . .
Verse 8
Niliwachagua, muwe rafiki zangu kwani . . .
Verse 9
Zaeni matunda, yapate kukaa kwani . . .